Lai Otieno
JF-Expert Member
- Aug 13, 2013
- 311
- 90
Sasa kama mkutano ni wa wanaccm, Hawa vijana wametoka wapi kwenye mkutano usiowahusu, au wametumwa na Babu kutimiza ahadi zake kabambe na makini kuwa nchi haita tawalikaa??
VIJANA 27 wanaosaadikiwa ni kutoka vyama vya upinzani mjini Bunda wapo mikononi mwa polisi kufuatia Amri ya viongozi kuwa wakamatwe kwa kukosesha amani mkutano wa C C M
OCD kusindikiza msafara wa Kinana Butiama hadi akirudi ndo tutawapa Up date
VIJANA 27 wanaosaadikiwa ni kutoka vyama vya upinzani mjini Bunda wapo mikononi mwa polisi kufuatia Amri ya viongozi kuwa wakamatwe kwa kukosesha amani mkutano wa C C M
OCD kusindikiza msafara wa Kinana Butiama hadi akirudi ndo tutawapa Up date
Sasa kama mkutano ni wa wanaccm, Hawa vijana wametoka wapi kwenye mkutano usiowahusu, au wametumwa na Babu kutimiza ahadi zake kabambe na makini kuwa nchi haita tawalikaa??