Genge kubwa la vijana zaidi ya elfu mbili waluipugwa baada ya serikali kungangania makinikia wametishia kujiingiza kwenye vitendo vya kihalifu iwapo nssf haitawalipa pesa yao kufikia wiki ijayo.
Tishio hilo sio la kupuuza hivyo serikali ichukue hatua za haraka kunusuru maisha ya raia. Pili ni vyema waziri wenye dhamana wanapaswa kuingilia kati. Tatu, serikali imruhusu huyu mzungu auze mitambo yake na kuondoka ili vijana hawa wajipatie kipato kwa kuchimba masalia kudogo ya dhahabu waweze kujikimu kimaisha.
Tishio hilo sio la kupuuza hivyo serikali ichukue hatua za haraka kunusuru maisha ya raia. Pili ni vyema waziri wenye dhamana wanapaswa kuingilia kati. Tatu, serikali imruhusu huyu mzungu auze mitambo yake na kuondoka ili vijana hawa wajipatie kipato kwa kuchimba masalia kudogo ya dhahabu waweze kujikimu kimaisha.