Walioko hatuwataki, tunaowataka hatuwaamini...

Walioko hatuwataki, tunaowataka hatuwaamini...

Junglefever

Member
Joined
Jul 22, 2012
Posts
11
Reaction score
2
Tanzania haiko shwari, mambo hayaendi sawa madini tunaibiwa,meno ya tembo tunaibiwa tukiuliza tunapigwa longo longo tunapotezea maisha yana kwenda sio sawa kabisa.
Sera yetu iwe ni UZALENDO kwa nchi yetu,CCM isipo endana na sera yetu,tunawamwaga,watakao ingia madarakani na wao(CHADEMA) wasipotekeleza tunapiga chini pia.

Proudly Tanzanian.
 
Watanzania wanataka Mtu mwenye uchungu na matatizo yao sio chama.ccm wamechoka hawana jipya tuwape cdm.
 
Back
Top Bottom