Walioitwa Kwenye Interview Akiba Commercial Bank

Walioitwa Kwenye Interview Akiba Commercial Bank

Mimi pia niliomba sijaitwa...kwa yeyote mwenye taharifa tufahamishe tafadhali
 
kuna mshkaji wangu aliaaply izo zaki alifanya interview written na leo ameitwa saa nane oral sa sijui ka ndo izo mnazotaka wadau
 
ACB Walishafanya written. Leo wanafanya Oral. Usikate tamaa, endelea kutuma CV sehemu mbalimbali.
 
kuna mshkaji wangu aliaaply
izo zaki alifanya interview written na leo ameitwa saa nane oral sa
sijui ka ndo izo mnazotaka wadau

vp mkuu...shortlisting yao inakuwaje??....wanapiga simu au email??
 
Wale tuliofanya written tar 20 januar na oral na tar 3-12 february mwenye taarifa tujuzane
 
Back
Top Bottom