Mambo mengine ukishindwa kumsaidia mtu mkuu ni bora ukae kimya kama wenzio walio view na kusepa na siyo kuropoka ropoka tu. Nafikiri hujui nini maana ya kujiandaa. Sikushangai sana jomba coz wa2 kama nyie nilijua mtajitokeza tu.Madhara ya kuzoea kudesa haya. huyu anataka desa hadi kazini. Kaazi kweeeli kweli. Mjasiri haachi asili
Mambo mengine ukishindwa kumsaidia mtu mkuu ni bora ukae kimya kama wenzio walio view na kusepa na siyo kuropoka ropoka tu. Nafikiri hujui nini maana ya kujiandaa. Sikushangai sana jomba coz wa2 kama nyie nilijua mtajitokeza tu.
Sifa za incompitent candidate(s), daima ni mkali na hataki kuambiwa ukweli. Matusi na lugha za kujilinda kwa saana. Kujiandaa haina maana upewe maswali dogo, unatakiwa usome kila kitu maana hata kazini hatutakuchagulia changamoto za kukutana nazo na wala hatutakupa in advance. Hupati desa hapa....
Ndugu Nyaucho, Usijali tuko pamoja mimi pia nasubiri majibu ya swali lako. lakini naona watu hawataki kutupia desa. Ila jitakidi kujua conflict resolution methods, at least possible common problems/challanges that you are going to face if employed and how will you overcome them, In most cases qns are senario based there fore get prepared to answer in a wise way (avoid to answer in such a way you will be adding a problem to your wanakijiji). Participatory method of leadership is most incouraged and make sure that when you will be answering any senario based qns, show that you will be involving you wanakijiji in most of the issues.Wakuu mliopiga usaili wa Afisa mtendaji kata, Plse embu fungukeni kuhusu maswali yanayoulizwa / yaliyoulizwa kwenye WRITTEN na kwenye ORAL. Natangulisha shukrani zangu kwa wadau wote watakao tiririka hapa.
Ndugu Nyaucho, Usijali tuko pamoja mimi pia nasubiri majibu ya swali lako. lakini naona watu hawataki kutupia desa. Ila jitakidi kujua conflict resolution methods, at least possible common problems/challanges that you are going to face if employed and how will you overcome them, In most cases qns are senario based there fore get prepared to answer in a wise way (avoid to answer in such a way you will be adding a problem to your wanakijiji). Participatory method of leadership is most incouraged and make sure that when you will be answering any senario based qns, show that you will be involving you wanakijiji in most of the issues.
Hujajibiwa coz hakuna maswali formal kwenye afisa mtendaji interview. Best of luck
ndio inaajiri baada ya kupewa kibali......................... mfano hizi ajira za sasa hivi.. halmashauri zimepata vibariWadau katika muundo wa utumishi wa umma bodi ya ajira ya halmashauri inaweza kusaili na kuajiri watendaji wa kata kwa kibali cha utumishi?