Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,984
- 19,285
Ni watuhumiwa walioficha magari wakidai ni mitumba wamefikishwa mahakama ya Kisutu, habari hii nimeileta kwa kuwa kulikuwa na kuaminishwa kuwa hakuna waliokamatwa kwa kuficha Magari bali ni kiki ya kufunika habari za Nape