Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 876
- 4,101
Waliopewa ajira watoe huduma wanatulazimisha tusio na ajira tuwalipe kitu kidogo ndipo watu ajira
Walioajiriwa wanatuambia wao ni wezi na kwamba wanaamini hata sisi wakitupa ajira tutaiba hivyo bora watuletee wageni watuibie.
Walioajiriwa wanatuambia tusilalamike na kushauri vyema la sivyo watatambia kupitia vyombo vyetu vya habari kwamba tumeongwa
Walio na ajira wanatuambia hata kama tumevamia maeneo wanatoa bilion 11 kutulipa fidia ila ardhi hiyo tunayorejesha atapewa mtu mmoja special. Malipo ya fidia tutatakiwa kumlipa anayepewa ardhi siku za mbeleni
Waliosoma wanasema sisi hatuwezi chochote labda tutawaliwe
Walioajiriwa wanatuambia wao ni wezi na kwamba wanaamini hata sisi wakitupa ajira tutaiba hivyo bora watuletee wageni watuibie.
Walioajiriwa wanatuambia tusilalamike na kushauri vyema la sivyo watatambia kupitia vyombo vyetu vya habari kwamba tumeongwa
Walio na ajira wanatuambia hata kama tumevamia maeneo wanatoa bilion 11 kutulipa fidia ila ardhi hiyo tunayorejesha atapewa mtu mmoja special. Malipo ya fidia tutatakiwa kumlipa anayepewa ardhi siku za mbeleni
Waliosoma wanasema sisi hatuwezi chochote labda tutawaliwe