Tangu mshahara wa kwanza unapokelea benki.Ndio maana wafanyakazi wapya wanatakiwa kufungua akaunti benki na kuzipeleka akaunti namba zao kwa mwajiri wao.HAKUNA MFANYAKAZI YOYOTE HATA MWALIMU ANAYEPOKEA AU ALIYEPOKEA MSHAHARA WA KWANZA MKONONI.KAMA HUNA AKAUNTI NAMBA,HUPATI MSHAHARA.