walimu wanahitajika haraka

walimu wanahitajika haraka

mtamanyali

JF-Expert Member
Joined
Dec 6, 2011
Posts
1,161
Reaction score
616
walimu wa sayansi, biashara na sanaa wanahitajika haraka tayari kwa kuanza kazi morogoro. Tuma cv yako haraka. mtamanyali@gmail.com
NB. kwa wale wanaotaka kwenda serikalini wasijisumbue kwani hatuhitaji mtu tukaenae muda mfupi then anaondoka.
 
Acha kukurupuka weka jina la mwajiri na vigezo utaeleweka
 
Elezea mkuu, Ajira hazitangazwi mamna hii!
 
Elezea mkuu, Ajira hazitangazwi mamna hii!
mwalimu wa sekondari awe elimu ni diploma na kuendelea. kama wababaishaji wanatangaza kazi kwa mbwembwe lakini hakuna kitu. mimi nimetumia simple way mnaniona mzushi ndio maana wabongo huwa tunaibiwa na wavaa suti.
 
we ----- unataka sample ya CV ya ualimu ndo umeamua kuja kwa style hii.JIpange tena hueleweki na tangazo lako au unatafuta walimu wa TUition nini?
 
Duuuh kwa kweli kama wewe ni mwalimu! Pole sana naomba urudi darasani
 
taja jina la shule na mahali ilipo, kiwango cha mshahara, qualif.za hao waalimu n.k, sio kibubububu km hivyo.
 
Wa maths na phys umempata,kama upo tayari nijibu hapahapa nikupe e-mail. Nina degree,degree nimesoma hesabu tu


NOTE; Kijijini sikai,labda umeme ,maji na usafiri uwepo mda wote! Wasije wakanimiss watu wangu JF
 
Wa maths na phys umempata,kama upo tayari nijibu hapahapa nikupe e-mail. Nina degree,degree nimesoma hesabu tu


NOTE; Kijijini sikai,labda umeme ,maji na usafiri uwepo mda wote! Wasije wakanimiss watu wangu JF
huyo ndio anayehitajika sana mkuu, sio kijijini kiviile huduma za msingi zote ukienda na modem au simu yako ya kawaida unaingia kwenye majukwaa yote hapa jf
 
we ----- unataka sample ya CV ya ualimu ndo umeamua kuja kwa style hii.JIpange tena hueleweki na tangazo lako au unatafuta walimu wa TUition nini?

asante bwana mkubwa, lakini kama ningehitaji sample si ningegoogle tuu! any way uhuru wa kuongea ni muhimu sana ila unachangamoto zake.
 
Mi ni mwalimu wa Kiswahili na Historia, nina degree ya ualimu. Nipo Mwanza kwasasa, naomba uniunganishe na hiyo dili mkuu, namba yangu ya cm ni 0752796133. Ubarikiwe!
 
Ni wilaya gani Morogoro?

Shule inaitwaje?

Ni O-level tu au O-level+A-level?

Degree holder serikalini ni TGTS D1 532000Tsh,nyinyi mnatoa ngapi?

Nina mdogo wangu yupo interested na nimemshauri asitume cv bila kupata majibu ya hayo maswali.Kama upo serious na unataka kweli walimu makini basi badili aproach unayoitumia.Hata ukipata, watakuwa sio makini ni wale wanaoambiwa tuma CV kwa email yenye id ya jf(imetengenezwa wa makusudi hayo) nao wanatuma tu bila kutafakari.At least hata ingekuwa email ya shule.
 
Mi mwl wa computer nina degree. Nadhani ungekuwa huru kuweka details hapa za location ya shule jina na kama ndo inaanzishwa tujue.
Kuwa tu huru kusema pia salary scale zenu zinarange wapi. Walimu wapo kibao na c wote wanataka fanya kazi serikalini. nyumba zipo? Huduma nyingine za kijamii. Hebu ipambe bac iyo shule tuvutiwe.


Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Tupo mimi pia mwl ila nafundisha hesabu form one tu

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Umeona ualimu ndo ajira inayotangazwa kizembe zembe namna hiyo?
 
Mtangazaji wa ajira hujawa serious au la tuseme unawadhalilisha walimu kwa kuwa too casual
 
Funguka mkubwa, watoto wanahitaji walimu ambao ni competent ili wafaulu katika maisha. Takehome ndio mpango.
 
Back
Top Bottom