Walimu kupinga kauli za Udhalilishaji na ubaguzi kutoka kwa CHADEMA dhidi yao

Hao walimu walikuwa wamesimama wapi wakitoa hayo masikitiko bwana mdau? Mbona unakuwa mmbea mbea kama msimbe aliekataliwa dakika za mwisho kabla ya ndoa! Acha uongo 🥺🥺🥺🥺
 
Hao walimu walikuwa wamesimama wapi wakitoa hayo masikitiko bwana mdau? Mbona unakuwa mmbea mbea kama msimbe aliekataliwa dakika za mwisho kabla ya ndoa! Acha uongo 🥺🥺🥺🥺
Dunia ni kama kijiji kwa sasa. Hivyo mambo yote ni kiganjani pako.
 
Mwalimu anaesimamia uchaguzi ni mbwa tu akiambiwa zipite anakubali hawezi mkatalia boss wake kwani uongo si tunawaona kila chaguzi alafu wanajitoa sana na bado hawakumbukwi. Ukiwa mwalimu hapa bongo ww ni paka tu huna thamani. Na kama unawatetea inamaana lisu kasema uongo? Lisu kuapiga kwenye mshono waalimu kama manyumbu tu hawajielewi japo wanafundisha watoto wetu ila ni wajinga kupitiliza
 
Ucha matusi na dharau kwa walimu wetu
 
Walimu wanajitambua na ndio maana wamekataa kuwa makondoo wa CHADEMA.
Wanaojitambua wananyonywa na cwt.
Wanaojitambua ananyimwa hakinzao na wapo kimya.
Wanaojitambua wanaendeshwa hadi na madiwani.
Acha kusifia ujinga waalimu mibmambuzi kama chama chao cha mambuzi
 
We jamaa Mjinga Kweli ndugu yangu, Yaani watu kuambiwa ukweli ndo wafedheheke? Wamezoea kulambwa visogo hao ndugu zako au Wanatetea maokoto yao kupitia Uchawa wa CCM?
 
Labda umezaliwa majuzi kiasi hukumbuki sarakasi za walimu walipo simamia chaguzi miaka ya nyuma.
 
Udhalilishwaji kwa walimu unafanywa na upinzani tena? Kivipi!
Kikokotoo ni cha mpinzani?
Kodi kubwa na makato kibao kwenye salary slip yameletwa na upinzani Kumbe.
NHIF wanakata na huduma imekuwa ya pesa mkononi nayo ni upinzani wameleta?
Unajua upinzani wanawalipa walimu kiasi gani mpaka kuwadhalilisha kwa maisha duni?
Tuendelee kusali
Vijana wengi wameleft group la kufanya kazi kwa Bidii na kuingie kwenye huu upande wa kutumia akili kisoda
 
Acha ujinga lucas!chadema haijawahi wadhalilisha walimu.bali chama chetu Kwa kuwadanganya ongezeko la mshahara 23.3% na kuwaaacha hoi huku mfumuko was bei juu,madaraja ya maumivu miaka Kunis daraja moja Hadi uchaguzi ukaribie ndio kikwete anasema eti Kuna madaraja ya mserereko!!

Huo ndio udhalilishaji Lucas Anza kwanza na chama chetu Kwa udhalilishaji kabla ya upinzani!

Walimu machozi ya uchungu yanawatoka Kwa udhalilishaji was kipato Toka CCM!!
A
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…