Pitia kwanza vifungu vya sheria ili ujue sababu iliyojengwa ndiyo uje kusema wamezingatia vitu vingi,sababu moja wapo mtuhumiwa katika kupata wadhamini haitakiwi awapate kirahisi kwakuwa ni mtuhumiwa inakuwa ni sehemu ya adhabu,
sabula na mwenzake tayari wamepatikana na hatia kwahiyo tayari mahakama imewatia hatiana kwahiyo masharti ya dhamana lazima yawe magumu kidogo ili iwe ni sehemu ya fundisho,
Inafahamika walimu wanapatikana kwa wingi maeneo yote hivyo kwa gaidi kama sabula na wenzake haitakuwa shida kuwapata,
ukisoma zaidi sheria itakupa majibu mengi mazuri ila shida yenu bawacha hata kusoma shida.