Dean JF-Expert Member Joined Jan 1, 2013 Posts 636 Reaction score 245 May 23, 2013 #41 Manhunt said: Gesi itanufaisha watanzania wote said jk, kwa hiyo anataka ijenDar kwani Mtwara sio Tanzania? Click to expand... Hicho ndicho kitu nnachoshangaa mpaka saivi!Ina maana mtwara hawafai mpaka gesi iende dar(ila nia kuu ni bagamoyo)?
Manhunt said: Gesi itanufaisha watanzania wote said jk, kwa hiyo anataka ijenDar kwani Mtwara sio Tanzania? Click to expand... Hicho ndicho kitu nnachoshangaa mpaka saivi!Ina maana mtwara hawafai mpaka gesi iende dar(ila nia kuu ni bagamoyo)?
MWILI NYUMBA JF-Expert Member Joined Jun 18, 2012 Posts 817 Reaction score 256 May 23, 2013 #42 Waambie hao dada UDA. Wanafikiri bado tupo enzi za zidumu fikra za mwenyekiti.
N nyabaheta JF-Expert Member Joined Dec 4, 2012 Posts 247 Reaction score 82 May 23, 2013 #44 Slave said: Hivi jina la machinga limetokana kabila moja wapo la ntwara eee! ? Click to expand... machinga=marching guy
Slave said: Hivi jina la machinga limetokana kabila moja wapo la ntwara eee! ? Click to expand... machinga=marching guy
Inanambo JF-Expert Member Joined Jun 26, 2011 Posts 4,063 Reaction score 2,872 May 23, 2013 #45 ACheni fikra za kichoyo Gesi ni ya watanzania wote. Utii wa sheria bila shuruti huokoa Mwili na Roho.
ACheni fikra za kichoyo Gesi ni ya watanzania wote. Utii wa sheria bila shuruti huokoa Mwili na Roho.