walikuja Dar mkawafukuza!

Gesi itanufaisha watanzania wote said jk, kwa hiyo anataka ijenDar kwani Mtwara sio Tanzania?
Hicho ndicho kitu nnachoshangaa mpaka saivi!Ina maana mtwara hawafai mpaka gesi iende dar(ila nia kuu ni bagamoyo)?
 
Waambie hao dada UDA. Wanafikiri bado tupo enzi za zidumu fikra za mwenyekiti.
 
ACheni fikra za kichoyo Gesi ni ya watanzania wote. Utii wa sheria bila shuruti huokoa Mwili na Roho.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…