Wali wa mtindi

Hornet

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2013
Posts
26,894
Reaction score
52,484
MAHITAJI,
mchele 1/2kg
sweetcorn
mtindi
chumvi na
mafuta.

Upishi,
chemsha maji ya kupikia wali.
.. kisha injika sufuria na utie mafuta yakipata moto weka mchele na ukaange
mchele ukianza kubadilika Rangi, weka sweetcorn endelea kukoroga,
.. kisha miminia mtindi na kukaanga kwa dakika mbili .
.. ongeza maji na chumvi na ufunike.
wali wako waweza kula mkavu ama na mboga yoyote.
 
Sweet corn ni nini?? Na inapatikanaje??
 
sweetcorn ni mahindi ya njano, kama sijakosea, sasa nashindwa kupata connection ya mahindi na hiyo pilau
 
sweetcorn ni mahindi ya njano, kama sijakosea, sasa nashindwa kupata connection ya mahindi na hiyo pilau
ni kama unavyoweka maharagwe kwenye mseto.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…