Mwanaume unaweza kuchepuka na mwanamke yoyte yule anaeweza kusababisha dudu lisimame regardless ni mzur au mbaya kuliko mkeo...
Lkn kwa mwanamke ni tofaut kidogo wao wanachepuka na mtu ambae ana uwezo wa kumreplace mume wake kulingana na kitu ambacho anakihitaj kwa wakat huo either pesa mapenz