vp na kuhusu Mbeya university of science and technology
pale coz ya ordinary diploma in food in science imekahaje na ajila ikoje
Vp kwenye afya mbona kwenye vigezo hawataji ACSEE yaani form six, au mtu aliyemaliza six hapaswi kusomea diploma ya mambo ya afya?
Soma hyo kitu huto regreat,hyo course sio maarufu ila watu wake hawakai mtaanivp na kuhusu Mbeya university of science and technology
pale coz ya ordinary diploma in food in science imekahaje na ajila ikoje
Huijui Food science wew kaa kimyaanjaaa tu. kasome clinical au ualimu wa masomo ya science
sasa niambie kwa kirefu aina dili na kazi nihadimu au inakuwaje coz wamenichagua iyo pale must-mbeyaHuijui Food science wew kaa kimyaa
Nawezaje kuona jina langu!! Mm niliomba kleruuWale tuliochaguliwa higher diploma in education tukutane hapa vyuo
1.KLERUU TTC
2.KOROGWE TTC
3.MONDULI TTC
Soma hyo kitu huto regreat,hyo course sio maarufu ila watu wake hawakai mtaani