wakuu mm mwenyew cjayajua hayo bdo...nloyopata ni kua chuo chetu lazima tujfunze discpline..kwenda chuo kla cku ni lazma bla kukosa coz wanaita majina na pia plus paper za mara kwa mara
wakuu mm mwenyew cjayajua hayo bdo...nloyopata ni kua chuo chetu lazima tujfunze discpline..kwenda chuo kla cku ni lazma bla kukosa coz wanaita majina na pia plus paper za mara kwa mara