Wale wa NACTE

Wale wa NACTE

NACTE ni majanga matupu,,,
Labda tusubiri hiyo tar 16 labda profile zetu zitabadilika
 
Mkuu inalekea umechoka mbaya hata hamu huna! mbona kusubr had tar 16 mbali kweli tutagongwa na maboda boda ya pipoz humu njiani
NACTE ni majanga matupu,,,
Labda tusubiri hiyo tar 16 labda profile zetu zitabadilika
 
Profile hazibadiliki hata kidogo sasa kama wale wa Tcu Mchakato umeenda fasta sasa kwann nacte wanashindwa kuchakata haraka?? Yaani toka mwezi wa sita wametoa majina ya afya tu
 
Ni kujipa majukumu kibaaaooo tuh kazi hii angeachiwa tcu tuh sasa nacte mala tcu yani nchi yangu tanzania ndio raha sana watu wanapeana ulaji tuh
 
acheni kulalamika wadau fanyeni kazi majina yatatolewa tu tuwe na subira mbona muda bado kumbukeni muda wowote wanaweza toa majina na pia NACTE wako busy xana tuwahurumie coz wanafanya selection za certificate,diploma na degree xo tuwe na subira wadau!!.ni MTAZAMO WANGU TU.
 
Maneno yangu yangekua sheria degreee(bachelor)wote wangetumia tcu hsfu certfcate an dipl.wangetumia nacte ili kurahsisha kazi...
 
nacte nayo ni ccm tu mawazo mgando
 
angalieni vyuo mliivoomba achaneni na profiles kwanza.mi Nina watu naowafahamu zaidi ya kumi walioomba kupitia nacte saiv wanakamilisha ruhusa vituoni majina angalieni vyuoni
 
angalieni vyuo mliivoomba achaneni na profiles kwanza.mi Nina watu naowafahamu zaidi ya kumi walioomba kupitia nacte saiv wanakamilisha ruhusa vituoni majina angalieni vyuoni

ulichosema mkuu ni kweli kabisa ata mimi wapo nimesoma nao wameishachaguliwa vyuoni
 
Back
Top Bottom