The Initiator huru
JF-Expert Member
- Dec 4, 2017
- 1,531
- 1,733
Binafsi mimi nimewahi kufumaniwa kama mara mbili hivi, mara ya kwanza niliopoa kadem kalikokuwa kanasoma chuo. Sasa siku moja ya Jumamosi wife yeye akiwa ameenda ofisini kwake nikakaita kaje nyumbani, alivyokuja nikamgegedea kwenye chumba cha housegirl, yeye pia hakuwepo.
Mara paap! nasikia geti linagongwa, kuchungulia ni wife. Nilimchukuwa yule demu na kwenda nae bafuni sehemu ambapo tuna pendaga kufulia nikachukua nguo zote chafu, safi na mashuka nikamfunika huku nikijidai kuwa nafua baada ya hapo nikaenda fungua geti.
Wife alivyoona nina mzigo mkubwa wa nguo alinihurumia nikamwambia inabidi nipambane tusimsubirie housegirl (ambaye alikua ameenda na watoto kwa bibi ya wakati wa likizo). Wife alichukuwa document alizokuwa amezisahau kisha akasepa mimi nikaendelea na mgegedo.
Embu wadau tupeni visa vyenu ilikuwaje ukafumaniwa.
Mara paap! nasikia geti linagongwa, kuchungulia ni wife. Nilimchukuwa yule demu na kwenda nae bafuni sehemu ambapo tuna pendaga kufulia nikachukua nguo zote chafu, safi na mashuka nikamfunika huku nikijidai kuwa nafua baada ya hapo nikaenda fungua geti.
Wife alivyoona nina mzigo mkubwa wa nguo alinihurumia nikamwambia inabidi nipambane tusimsubirie housegirl (ambaye alikua ameenda na watoto kwa bibi ya wakati wa likizo). Wife alichukuwa document alizokuwa amezisahau kisha akasepa mimi nikaendelea na mgegedo.
Embu wadau tupeni visa vyenu ilikuwaje ukafumaniwa.