balyeb
Member
- Sep 21, 2015
- 74
- 18
Nipende kuwapongeza niwakaribishe pia CUHAS ila Kuna vitu vichache ila muhimu vizingatie kabla hujaja ili usisumbuke badae:
Maadili kitu Cha muhimu
Nguo fupi,zinazoonesha kwa ndani au mabega nje sahau kuruhusiwa kuingia maana wapo SUMA JKT getini na wamepewa Hata hostel na maeneo yote ya chuo kulinda
Jeans usivae wakati unakuja na Hata muda wa darasa vaa kitambaa vaa kadeti na T- shirt ya collar ndo wanaruhusu
Koti na kitambulisho vinavaliwa wakati wote
Hostel gharama zmepand 600,000/= kwa mwaka na inalipwa in full
Jipange kisaiklojia kupata 100% ya mkopo sio rahis kwa ss kwa hyo lolote lawez kukupata
Registration fee inalipwa kila mwaka na in full
Huku watu wanasoma Tena Sana kwa hyo jiandae kusoma mambo sio magum Wala sio marahisi ila ujenz unaoendelea pale chuon nahis unahtaj pesa na wakiamua inawez toka kwa wanafunz wenyew hku supp znalipiw sio chin ya elfu 40 kwa somo moja kwa upande wa degree
KWA HAYO MACHACHE KARIBU SANA
Maadili kitu Cha muhimu
Nguo fupi,zinazoonesha kwa ndani au mabega nje sahau kuruhusiwa kuingia maana wapo SUMA JKT getini na wamepewa Hata hostel na maeneo yote ya chuo kulinda
Jeans usivae wakati unakuja na Hata muda wa darasa vaa kitambaa vaa kadeti na T- shirt ya collar ndo wanaruhusu
Koti na kitambulisho vinavaliwa wakati wote
Hostel gharama zmepand 600,000/= kwa mwaka na inalipwa in full
Jipange kisaiklojia kupata 100% ya mkopo sio rahis kwa ss kwa hyo lolote lawez kukupata
Registration fee inalipwa kila mwaka na in full
Huku watu wanasoma Tena Sana kwa hyo jiandae kusoma mambo sio magum Wala sio marahisi ila ujenz unaoendelea pale chuon nahis unahtaj pesa na wakiamua inawez toka kwa wanafunz wenyew hku supp znalipiw sio chin ya elfu 40 kwa somo moja kwa upande wa degree
KWA HAYO MACHACHE KARIBU SANA