Wakuu wa Wilaya, Mikoa Vs Mawaziri

Wakuu wa Wilaya, Mikoa Vs Mawaziri

dyeanka

Member
Joined
Jun 19, 2016
Posts
96
Reaction score
70
Nimemekuwa nashangazwa pale ambako mkuu wa Wilaya au Mkoa kumpigia kampeni mgombea ubunge watu wana lalamika sana kuwa ni viongozi wa Umma na sheria yanmaadili yanviongozi wa umma inakataza. Vipi kuhusiana na Mawaziri wao sheria ya maadili ya viongozi wa Umma haiwahusu?

Miongoni mwa watumishi wa Umma wanaotambulika kisheria Mawaziri pia ni miongoni mwao, ikijuishwa na wakuu wa Wilaya na Mikoa, ukienda mbali zaidi hawa wote viongozi wanaotokana na utashi wa kisiasa kwa maana wanaweza kutetea vyama vyao. Kwanini tatizo liwe kwa DC ad RC na sio Mawaziri?
 
Hata mawaziri pia,maana AHADI yeyote itakayptolewa na Waziri husika ni itatafsiriwa kama RUSHWA kwa mpiga kura
 
Back
Top Bottom