Wakuu wa Wilaya, mikoa na Maded akili zipo kwenye kujenga madarasa. Hawana habari tena na kilimo

Rufiji dam

JF-Expert Member
Feb 20, 2020
3,804
8,797
Hii nchi yetu ina mambo kweri kweri, sasa hivi kila pembe ni mbio za ujenzi wa madarasa n kuyazindua. Tanzania inaenda kupambana na hali ngumu sana ya maisha hasa sehemu kubwa kukosa mvua za kutosha. Tunamaliza kujenga madarasa tunakumbana na njaa. Ruvuma wameanza kuona tishio mpaka wameitisha kuomba na kusali mvua inyeshe. Ummy Mwalimu yupo busy kujinasibu SSH kajenga shule 3000. Yaani hapa SSH akigeuza kauli tu kila kitu kinafuatwa na Waziri wa Kilimo nae kanyamaza na Bashe wake.
 
Nchi inaendeshwa kwa mihemko. Pamoja ujenzi wa madarasa ilikuwa ni kipaumbele lakini ni Cha muda tu sababu nadhani no miezi kama mitatu tu na yakikamilika tunarudi back to square one.

Nadhani upo sahihi masuala ya kilimo yanapaswa kuendelea kutiliwa mkazo sababu hata mvua mwaka huu sio za kuaminika sana.
 
Back
Top Bottom