Labiance21
Member
- Jul 15, 2025
- 60
- 72
Umeviiba wapi mbona hujaweka na risiti zako ulizonunulia kiongozi ila mikufu sio vyema kuivaa mingine inamaagano ya kichawi kabisa unaweza kupata shida milele usiitatueHabari za jioni wakubwa?Wakubwa nna biashara nauza,biashara hizo ni pamoja na,.
(1)Focusrite Scarlett 18i20,hii ni soundcard for Professional recording studio naitakia 1,700,000.
(2)Scarlett solo,hii ni kwa home studio naitakia 350,000
(3)Garmin Heart Rate Monitor,hii ni mikanda ya kuvaa kifuani kwa ajili ya kuangalia mapigo ya moyo,lakini hii ni special kwa wanaotumia garmin watch iko miwili naitakia 70,000 each
(4)I pod classic 160Gb naitakia 250,000
(5)Nikon lens 70-300mm naitakia 550,000
(6)Nikon lens 28-80mm naitakia 350,000
(7)Nikon lens 11-27.5mm naitakia 150,000.Pia nna sum silver Bracelet gram 30,cheni kubwa ina gram 30,cheni ya msalaba in gram 10,na pete ina gram 11,.Silver nauza gram moja 7000.Ahsanten Wakuu naambatanisha na picha za hivyo vitu.View attachment 3408098View attachment 3408099View attachment 3408101View attachment 3408165View attachment 3408168View attachment 3408169View attachment 3408170View attachment 3408171View attachment 3408172View attachment 3408174View attachment 3408175View attachment 3408176View attachment 3408177View attachment 3408178View attachment 3408179View attachment 3408180View attachment 3408181View attachment 3408182View attachment 3408183View attachment 3408184View attachment 3408185View attachment 3408186
Hamna mkuu zaga zote zangu mwenyewe,si unajuwa kaburu uchawi upo sema siyo kama bongo,mzigo wote ni Original hamna fongkong.Umeviiba wapi mbona hujaweka na risiti zako ulizonunulia kiongozi ila mikufu sio vyema kuivaa mingine inamaagano ya kichawi kabisa unaweza kupata shida milele usiitatue
Si unajuwa mkuu kimfaacho mtu chakeJamaa inaonekana unapenda vitu flan flan vizuri sasa, kuna ukame unaupitia sio powa,,,, kila la kheri chifu, mwanaume hatupi taulo
Nipo mkuu nawaskiliziaUtapata wateja ...... Weka kambi ujibu maswali.
Asante mkuu,sema nimeona niviuze sababu sina matumizi navyo tena.Jamani pole kuuza vitu vyako
Kwani rejesho sh ngapi mkuu?
Ila nini this too shall pass.nakuombea
Hailipi mkuu,bei niliyonunulia dukani ni kubwa kuliko ninayouzia.Cheni kubwa nikudakishe 70k
Kitambo aisse(4)I pod classic 160Gb naitakia 250,000