Mimi kama mzoefu ambaye nilifanya hiyo kitu miaka kadhaa nyuma, na kupata zaidi ya 100,000 downloads na watumiaji 20,000 hadi 40,000 kwa siku nakushauri yafuatayo.
1. Unaweza kutengeneza hiyo app, lakini hiyo ni illegal business kwa kuwa huna haki za matangazo za hizo channel, hivyo itashindikana kuiweka app yako kwenye play/app store
2. Unaweza kupata watumiaji kwa ku_share app yako kwa social networks lakini source ya uhakika ya kupata hizo channels ni ngumu kwa kuwa links nyingi now days ziko protected, hazitaweza play nje ya domain yao/app yao
3. Unaweza kuwa unachukua matangazo live kutoka kwenye decoder lakini kuwekwa nguvuni na mamlaka au decoder yako kufungiwa ni nje nje, (mfano huwa unaona kwenye channel za sports mara nyingi kuna wakati kuna namba flani huwa zina_display kwenye screen yako huwa zinakuwa tofauti kwa kila mtumiaji na zinatumika kutambua matangazo hayo yanarushwa kutoka kwenye decoder ya nani).
4. Hivyo kwa uzoefu wangu sio biashara sahihi sana kufanya kama utataka kuwa na sustainability.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.