Wakuu mniombee

Mr possibility

Senior Member
Joined
Mar 19, 2020
Posts
175
Reaction score
134
Naam salamu wakuu wa jf

Lengo hasa la uzi naomba mniombee
Nasikitika kwamba kwa muda wa miezi minne nitalazimika kuzima simu na hivyo kuikosa JF kwani narudi shule..

Mimi ni form six na mwezi wa tano tunakabiliwa na mtihani wa taifa hivyo ni miezi minne tu imebaki

Mniombee sana ili niweze kufanya mitihani hii kwa muktadha wa kile nilichojifunza,pia nimesikia kuwa kufaulu vyema form vi kuna guarantee ya kwenda chuo kuanza na degree moja kwa moja hivyo mniombee

Nawasilisha🙏🙏🙏🙏🙏
 
Maombi yetu inabidi yaende sambamba na juhudi zako za kusoma huko shule
 
Kumbe ....tunaishi na student ....humu
Anyway mwnyw nipo nmemaliza mwaka Jana soma sana uje MZUMBE kula boom la HELSB
Boom lenyewe ukianza kulipa haliishi hadi una staff,
 

Attachments

  • IMG-20210109-WA0013.jpg
    46.2 KB · Views: 14
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…