Marcedes sprinter van ina seat 25 ila ina tatizo imekata moto na engine yake ni system ya umeme toka ilivyoshuka zanzibar haikuwahi fanya kazi ila ishasajiliwa kwa kazi daladala haikuwahi fanya ndio ikakata moto sasa kwa yoyote atakae vutiwa na hii gari anaweza kuwasiliana na mm kwa namba 0772431041.
Nauza kwa bei ya hasara kabisa maana kuna kuna njia mbili ubadilishe engine na kuweka ya kawaida isio na system ya umeme au upate fundi mzuri sana mwenye kujua gari za umeme na bei yake 6.5 millioni.. robo ya bei robo ya bei iliocost hio gari na picha utaweza kuziona hapo chini
Nauza kwa bei ya hasara kabisa maana kuna kuna njia mbili ubadilishe engine na kuweka ya kawaida isio na system ya umeme au upate fundi mzuri sana mwenye kujua gari za umeme na bei yake 6.5 millioni.. robo ya bei robo ya bei iliocost hio gari na picha utaweza kuziona hapo chini