Wakurugenzi Kigoma na Katavi wasimamishwa kazi.

N'yadikwa

JF-Expert Member
Aug 10, 2014
7,349
10,765
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa George Simbachawene amewasimamisha kazi wakurugenzi watendaji wa Manispaa za Kigoma mkoa wa Kigoma na wa manispaa ya Mpanda mkoa wa Katavi kwa tuhuma za kuridhia na kutekeleza maamuzi ambayo yamesababishia serikali hasara na upotevu wa fedha.

Ubadhirifu huo unadaiwa kuisababishia serikali hasara ya zaidi ya shilingi milioni 290 ambapo Mkurugenzi wa Manispaa ya Kigoma Mhandisi Boniface Nyambele anakabiliwa na tuhuma ya uuzaji wa nyumba za Halmashauri huku Mkurugenzi wa Manispaa ya Mpanda akikabiliwa na tuhuma za ununuzi hewa wa gari la kusombea taka.

** wanaisoma namba***
 
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa George Simbachawene amewasimamisha kazi wakurugenzi watendaji wa Manispaa za Kigoma mkoa wa Kigoma na wa manispaa ya Mpanda mkoa wa Katavi kwa tuhuma za kuridhia na kutekeleza maamuzi ambayo yamesababishia serikali hasara na upotevu wa fedha.

Ubadhirifu huo unadaiwa kuisababishia serikali hasara ya zaidi ya shilingi milioni 290 ambapo Mkurugenzi wa Manispaa ya Kigoma Mhandisi Boniface Nyambele anakabiliwa na tuhuma ya uuzaji wa nyumba za Halmashauri huku Mkurugenzi wa Manispaa ya Mpanda akikabiliwa na tuhuma za ununuzi hewa wa gari la kusombea taka.

** wanaisoma namba***
Je hao wakurugenzi kwenye maeneo yao
chama cha yanga kilipata kura katika chaguzi zilizopita? au la!
 
kwanini wawasimamishe,...wasifukuze kazi,...wataendelea kula pesa za serikali,..i hate this,...kma wanaushahidi wafukuzee,..kuleana huku tumechoka,....chanzo chako mkuu???
 
Back
Top Bottom