Nikuulize! Ukikanyaga brake pedal engine ikiwa on inakuwaje?
-Inakuwa kama inakuwa free hadi ukanyage ifike nusu (yaani karibu na bati la chini ndo unapata ugumu wa breki. Na unavyokanya unasikia sauti kama mtu anapuliza kitu (phyiiiiiii.....)
Inakuwa ngumu au kawaida?
-inakuwa hakuna ugumu wowote hadi utakapokanyaga na kufika nusu pedal ndio unapata ugumu wa kuhisi umekanyaga break.
Unaweza kutest booster kwa kupump brake pedal taratibu gari lilikiwa limezima, mpaka padel iwe ngumu kuipress, then wanasha gari huku mguu ukiwa bado kwenye brake pedal. Kama itabonyea chini yenyewe bila kuwa ngumu, then booster inaweza isiwe tatizo hapo.
-Haiwi ngumu Mkuu!
Check master cylinder unaweza kuta rubber imeisha au cylinder imelika kwa ndani. So unapokanyaga pressure inatoka.
-Nitafanya hivyo Mkuu.
Wishbone kuipinda ni mbinde kwa hali ya kawaida. Labda ajali. Ila torsion bars zinajikunja. Na hizi unaweza kuziangalia tu mwenyewe ukajihakikishia.
-NI kweli Mkuu nimeziangalia nikaona zimepinda kidogo. Je hazinyoosheki?
Kuna jamaa yangu Arusha anauza OEM parts kwa bei nzuri. Mcheki anaweza kukusaidia. 0757 713189
-Shukrani sana Mkuu.