wakoloni waliotutawala wangekua wachina

wakoloni waliotutawala wangekua wachina

Joined
May 15, 2013
Posts
14
Reaction score
2
Hivi mfano wakoloni waliotutawala wangekua ni WACHINA ingekuaje:-
1.miji na mashule mengi yangekua na majina ya kichina
2.kusingekuepo na dini mbili kubwa nchini kama RC na islamic badala yake ungekuta tunaamini akina budha na shaolin temple
3.kusingekuepo na haja ya kupoteza rasilimali ili kuwapa mafunzo polisi na migambo,kwan kila mtu angekua na uwezo binafsi wa kupigana kama kina toto tundujackie chan na jet li
4.kusingekuepo na kesi nyingi za ubakaji na unyanyasaji wa kijinsia kwan kila mtu angekua na uwezo wa kujitetea physically
5.kungekuepo na idadi kubwa ya watu na shule za mafunzo ya kunfu.
6.Tanzania ingeongoza africa kwa kuwa na viwanda vingi vya kutengeneza vitu vya muda mfupi.
7.vingine vitaje...
 
9. kusingekuwa na haja ya kusafirisha meno ya tembo kwa meli ya kin An AH.
 
viongozi wangekuwa na majina kama, lo wan san, kin kwen ten,man gun fun lin,
 
Viongozi wengi wa ccm wangekuwa washanyongwa kwa ufisadi wao kwani tungesimamia misingi na sheria zao
 
Back
Top Bottom