JERUSALEMU
JF-Expert Member
- Sep 19, 2012
- 3,106
- 3,523
- Thread starter
- #21
Kabisa. watu hawana hamu na CCM NA MAGUFULI wao.CCM umechokwa nchi nzima
Kabisa. watu hawana hamu na CCM NA MAGUFULI wao.CCM umechokwa nchi nzima
Hawa jamaa wanajidangaya na vijisiasa vyao vya mitandaoni.tatizo lenu ni kwamba, mpo kwenye chama `kidogo' sana, kwamba hata huu uchaguzi mdogo, viongozi wenu wa kitaifa wamekomaa nao maana hakuna namna, hivyo mnafarijika na `mafuriko' mnayoyaona ambayo kimsingi, hayatokani na kukubalika kwa chadema, bali yanatokana na `ushamba' wa watu kwenda kushuhudia mbowe et al ni watu wa namna gani baasi,