Mkalukungone Mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 2,436
- 5,234
Huyu bwana mdogo alifanyiwa fujo sana, halafu ni moja ya wakili na hakuwa pale mahakamani kwa bahati mbaya!
Tunasafari ndefu sana ya kufika tunapopataka kama nchi
==============
Mwenyekiti wa BAVICHA Taifa Wakili Deogratias Mahinyila akiwaleza wanahabari kwenye viunga vya Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala ndogo ya Dar es Salaam leo, Jumanne Septemba 16.2025 kuhusiana na kadhia iliyotokea Mahakamani hapo Septemba 15.2025 kati yake na wafuasi wengine wa CHADEMA dhidi ya maafisa wa Jeshi la Polisi
Ikimbukwe kuwa, kadhia hiyo ilipelekea Wakili Mahinyila na Maka wengine wa CHADEMA kukamatwa na Jeshi la Polisi, kisha kupelekwa Kituo Kikuu cha Polisi cha Kati (Central Police) Dar es Salaam, kabla ya kuachiliwa kwa dhamana baadaye siku hiyohiyo, huku akitakiwa kuripoti kituoni hapo leo.
Tunasafari ndefu sana ya kufika tunapopataka kama nchi
==============
Mwenyekiti wa BAVICHA Taifa Wakili Deogratias Mahinyila akiwaleza wanahabari kwenye viunga vya Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala ndogo ya Dar es Salaam leo, Jumanne Septemba 16.2025 kuhusiana na kadhia iliyotokea Mahakamani hapo Septemba 15.2025 kati yake na wafuasi wengine wa CHADEMA dhidi ya maafisa wa Jeshi la Polisi
Ikimbukwe kuwa, kadhia hiyo ilipelekea Wakili Mahinyila na Maka wengine wa CHADEMA kukamatwa na Jeshi la Polisi, kisha kupelekwa Kituo Kikuu cha Polisi cha Kati (Central Police) Dar es Salaam, kabla ya kuachiliwa kwa dhamana baadaye siku hiyohiyo, huku akitakiwa kuripoti kituoni hapo leo.