GE2025Wakili Dickson Matata: Unaingiaje kwenye uchaguzi ambao Rais ambaye ni Mgombea ndiye anayeteuwa Mwenyekiti, Makamu na Wajumbe wa Tume ya Uchaguzi
Wakili Dickson Matata akizungumza katika Mdahalo wa "Jicho la Wanasheria Uchaguzi Mkuu 2025" kipindi cha Star TV ameelezea Suala la Uteuzi wa watendaji wa Tume huru ya Uchaguzi ambapo Katiba inasema Rais ndiye mwenye Mamlaka ya kuteuwa Mwenyekiti, Makamumwenyekiti na Wajumbe wa Tume ya Uchaguzi na wakati huohuo Rais Mwenyewe ni Mgombea urais na baadhi ya watu aliowateuwa ni kutoka kwenye Chama chake cha (CCM)
Vyama vya siasa wabinafsi sana, ndio mana Polepole kasema ccm B, wanashindwa kusimama pamoja kudai reforms au hata kule mahakamani awatokei mwenzao kapewa kesi ya mchongo
Vyama vya siasa wabinafsi sana, ndio mana Polepole kasema ccm B, wanashindwa kusimama pamoja kudai reforms au hata kule mahakamani awatokei mwenzao kapewa kesi ya mchongo
Ukiona nchi inaongozwa kwa kutumia mabavu basi jua uko tuendako ni kubaya sana, maana wale wanaohisi kuwa wanaonewa adui akija inakua rahisi sana kwao kuungana nae, sasa ogopa sana adui akiungana na mwenyeji.