LITA2019
JF-Expert Member
- Dec 18, 2019
- 485
- 1,045
Wanajamvi tuendelee kuchukua tahadhari na janga la corona,
Niende kwenye mada straight, nimeoa mwaka wa pili sasa...before sijaoa nimepitia experiences nyingi za mahusiano, na kwa kiwango chake nimehitimu. Tangu nimeingia katika wedlock, sijatoka nje ya ndoa na sioni sababu..mke wangu yupo free kwa mawasiliano yangu yote na kila kilicho changu. Licha ya hayo yote, amekua ni mtu ambae haniamini kabisaa, akiona text yyt hata ya salamu za kawaida kama ni jinsia ya kike bas balaa...kwa nature ya kazi yangu ni ngumu kutokua na contacts za jinsia tofauti. Wanandugu nifanyaj kujenga trust katika hali kama hii wakati sina upuuzi wwte niuafanyao..surely nimebaki kumuachia Mungu tu, mana anajua sina baya ila mwenzangu ni shida..anaweza nuna hata siku 3 akikuta mawasiliano yyte yale...naona nakosa amani sana.
Nawasilisha
Sent using Jamii Forums mobile app
Niende kwenye mada straight, nimeoa mwaka wa pili sasa...before sijaoa nimepitia experiences nyingi za mahusiano, na kwa kiwango chake nimehitimu. Tangu nimeingia katika wedlock, sijatoka nje ya ndoa na sioni sababu..mke wangu yupo free kwa mawasiliano yangu yote na kila kilicho changu. Licha ya hayo yote, amekua ni mtu ambae haniamini kabisaa, akiona text yyt hata ya salamu za kawaida kama ni jinsia ya kike bas balaa...kwa nature ya kazi yangu ni ngumu kutokua na contacts za jinsia tofauti. Wanandugu nifanyaj kujenga trust katika hali kama hii wakati sina upuuzi wwte niuafanyao..surely nimebaki kumuachia Mungu tu, mana anajua sina baya ila mwenzangu ni shida..anaweza nuna hata siku 3 akikuta mawasiliano yyte yale...naona nakosa amani sana.
Nawasilisha
Sent using Jamii Forums mobile app