Wake zetu toeni woga tukiangalia ''zigo'' tumeumbwa kuangalia

Daby

JF-Expert Member
Oct 26, 2014
33,648
75,729
Kuna haka kamchezo ketu wanaume, upo na mamilo mnatembea au mmekaa sehemu mara vuupu unapita mzigo wa haja/miss bantu shekh/mizigo mikubwa mikubwa shekh(shekh kipozeo) gafla bailojia inachange unajikuta unahamishia mawazo, macho na akili huko. Hili hunitokea sana na raha yangu ni kuangalia tu wala sio vingine sema mama klaree huwa haniamini ila naishiaga kuangalia tu mimi.

Juzi tu kapita mmoja nikamla chabo ya kilevi mama klaree kaninunia siku nzima na haka kamchezo kwa taarifa zake siachi ng'oo. (Asprin Bonny n.k gonga like kuniunga mkono.)

Jamani wake/wapendwa wetu toeni woga tumeumbwa kuangalia. Wengine tunaishia hapo hapo walai. Mimi najua wengi sio tatizo letu, tatizo ni hizi baiolojia zetu zikiona tu mzigo unaweweseka ndani ya dela/dira lazima zijibu mapigo kwa kusogeza vimacho. Haha nimekumbuka maneno ya mama klaree you have freedom to watch but not to zet eksitent.

Karibuni tulijadili hili. Ila niwakumbushe tu jamani sijasaliti chama cheo mlichonipa nikikubwa na wanaume sitawaangusha maana hakuna namna sasa in fent font. Leo hakuna picha mshana jr .
 
Mimi sijui Niko tofauti na huyo mama klaree au sijui ni kutojali ile kupotezea. Babe akiitazama sana nammi naangalia halafu tunaanza kumjadilisound crazy tho. But Ndio hivo,Hadi kuna siku nkamwambia mmh. Hilo tuachane nalo sio Kubwa Kama la siku furahi ambayo yeye alishasahau nlvomkumbuka akacheka Sana.
Baadae rafiki zake wakamwambia hivo hakasirikagi akawambia hapana,walishangaa Sana.
 
Ahaaa alishagomba sana mwisho wake mwenyewe kaamua kusanda game, Ila pale chuo kikuu ukipita jion aisee wale wafanya mazoez au pale UDBS tunatafutiana sana lawama na hawa wenza wetu
Mzee mwenzangu. Juzi nilikuwa na shemeji yako likapita dude bwana siunajua ile singida dodoma singida dodoma nami nikalisindikiza huku nimepanua mdomo
 
Mzee mwenzangu. Juzi nilikuwa na shemeji yako likapita dude bwana siunajua ile singida dodoma singida dodoma nami nikalisindikiza huku nimepanua mdomo
ha ha ha ha ha unakuja kugeuza shingi unakuta kumbe ulikuwa unaaangaliwa muda wote huo,
Siku hzi nna mbinu mpya nikiliona hata sigeuk nasubiria kwenye side mirror nakula bila usumbufu
 
Mimi sijui Niko tofauti na huyo mama klaree au sijui ni kutojali ile kupotezea. Babe akiitazama sana nammi naangalia halafu tunaanza kumjadilisound crazy tho. But Ndio hivo,Hadi kuna siku nkamwambia mmh. Hilo tuachane nalo sio Kubwa Kama la siku furahi ambayo yeye alishasahau nlvomkumbuka akacheka Sana.
Baadae rafiki zake wakamwambia hivo hakasirikagi akawambia hapana,walishangaa Sana.
Babe wako atakuwa anaangalia kikawaida kawaida. Tafuta avatar ya Mtambuzi ndiyo utajua tunavyoyaangalia sisi.

Kwanza unapanua mdomo. Pili unabana miguu. Tatu unatoa tabasamu la kiyoyezi murua
 
Mimi sijui Niko tofauti na huyo mama klaree au sijui ni kutojali ile kupotezea. Babe akiitazama sana nammi naangalia halafu tunaanza kumjadilisound crazy tho. But Ndio hivo,Hadi kuna siku nkamwambia mmh. Hilo tuachane nalo sio Kubwa Kama la siku furahi ambayo yeye alishasahau nlvomkumbuka akacheka Sana.
Baadae rafiki zake wakamwambia hivo hakasirikagi akawambia hapana,walishangaa Sana.
mbona kama hii story ina nsaba nasaba fulan vile
 
Back
Top Bottom