Wake zetu mpewapo lift msitafute mengineyo

Wake zetu mpewapo lift msitafute mengineyo

Judgement

JF-Expert Member
Joined
Nov 13, 2011
Posts
10,326
Reaction score
4,787
Lift sio lazima iwe ya gari,au kupandia ghorofa,mke rafiki , Jjrani akikuomba simu yako atume message nayo ni lift Mlengwa hapa ni mke.

Mkeo anakuomba lift , then anaanza kupiga na honi.Honi hapa ni hawa wake zetu, kabla hajatuma message ukishampa simu , anaanzia "sent items" .

Wosia wangu nyie wanawake, mkitaka tubaki tunawalea wanetu ndoani ,achaneni na sent items za waume wenu.Pekuapekua sent items za wanaume wenu sio vizuri.
 
Lift si lazima iwe ya gari , au kupandia ghorofa! Mke , Rafiki , Jirani akikuomba simu yako atume msg nayo ni lift .

Mlengwa hapa ni mke !
Mkeo anakuomba lift , then anaanza kupiga na honi !
Honi hapa ni hawa wake zetu , kabla hajatuma msg ukishampa simu , anaanzia "sent items" !

Wosia wangu nyie wake , mkitaka tubaki tunawalea wenetu ndoani , achaneni na sent items za waume wenu !
Pekuapekua sent items za wanaume wenu ni mithili ya kuvuta fegi Caltex , Oil com , Gapco , Agip , Shell etcetera !

atakua kakusikia ataacha...
 
Kwani wewe hupekui sent items ya nduguyo mnaechangia shuka ?

me sipekui mkuu, navyomwamini Mme wangu niendelee kumwamini hivihivi nisije kutana na mengine huko nikafa kwa pressure bure....
 
ukiishiriki simu ya mumeo au mkeo ni kujitaftia yasokuwa na maana na pia ni wazi umemchoka mwenzio unamtaftia sababu tu ya kumuacha
 
Ha ha ha ha! lift hizo!
Lift sio lazima iwe ya gari,au kupandia ghorofa,mke rafiki , Jjrani akikuomba simu yako atume message nayo ni lift Mlengwa hapa ni mke.

Mkeo anakuomba lift , then anaanza kupiga na honi.Honi hapa ni hawa wake zetu, kabla hajatuma message ukishampa simu , anaanzia "sent items" .

Wosia wangu nyie wanawake, mkitaka tubaki tunawalea wanetu ndoani ,achaneni na sent items za waume wenu.Pekuapekua sent items za wanaume wenu sio vizuri.
 
Back
Top Bottom