Wakati wa Magufuli Chadema hawa hawa walisema bora Kikwete , muda huu wanasema Kikwete hafai hivi hawa Nyumbu wana akili kweli?.

Wakati wa Magufuli Chadema hawa hawa walisema bora Kikwete , muda huu wanasema Kikwete hafai hivi hawa Nyumbu wana akili kweli?.

Kwani ukiwambiwa bora B kuliko A ndio maana yake A inafaa??
 
Hivi ukiwasikiliza Nyumbu wa Chadema unaweza kuwaelewaje.

Wakati wa Magufuli walipiga Kelele kuwa bora utawala wa kikwete .

Leo tena mnasema kikwete hafai, mnabidi mkapinwe UTI sugu
ukiingia chadema unacha akili nje hawana akili na wala hawaeleweki wanataka nini
 
Hivi ukiwasikiliza Nyumbu wa Chadema unaweza kuwaelewaje.

Wakati wa Magufuli walipiga Kelele kuwa bora utawala wa kikwete .

Leo tena mnasema kikwete hafai, mnabidi mkapinwe UTI sugu
Kwa ufupi ccm kama taasisi yote imeoza ni lana haifai, hata mtu mzuri akiwa huko anakua corrupted, ni heri ikae pemben kwa mda
 
Hivi ukiwasikiliza Nyumbu wa Chadema unaweza kuwaelewaje.

Wakati wa Magufuli walipiga Kelele kuwa bora utawala wa kikwete .

Leo tena mnasema kikwete hafai, mnabidi mkapinwe UTI sugu
Hawajui wanasimamia nini?
Kiufupi wanautoto mwingi vichwani mwao.
 
Mbona Mwinyi, Kikwete,Samia ni tofauti sana na Nyerere,Mkapa, Magufuli Katika yafuatayo?

1. Familia zao kujinufaisha kisiasa?

2. Uadilifu

3. Maono juu ya nchi.

4. Viwango vya rushwa Katika tawala zao.

5. Gape la maskini na matajiri Katika uongozi wao.

6. Ulinzi wa raslimali za umma
 
Mbona Mwinyi, Kikwete,Samia ni tofauti sana na Nyerere,Mkapa, Magufuli Katika yafuatayo?

1. Familia zao kujinufaisha kisiasa?

2. Uadilifu

3. Maono juu ya nchi.

4. Viwango vya rushwa Katika tawala zao.

5. Gape la maskini na matajiri Katika uongozi wao.

6. Ulinzi wa raslimali za umma
Endelea kulalamika wakati ukifika wakati wa kuchukua fomu hautaki
 
Ni njia ipi ya utafiti ilitamatisha mawazo yako?.....kwani wakati wanasema bora ya j.k, magufuli alikuwa undercontrol?
 
Back
Top Bottom