B bokango New Member Jul 21, 2010 2 1 Oct 18, 2012 #1 Nionavyo mimi mheshimiwa JK atakapomaliza muda wake nafkiri mtu atakayeikomboa Tanzania kwa hali ya sasa ilipofikia bi Lowasa peke yake!!!
Nionavyo mimi mheshimiwa JK atakapomaliza muda wake nafkiri mtu atakayeikomboa Tanzania kwa hali ya sasa ilipofikia bi Lowasa peke yake!!!
Fyong'oxi JF-Expert Member Sep 13, 2012 266 72 Oct 18, 2012 #2 bokango said: Nionavyo mimi mheshimiwa JK atakapomaliza muda wake nafkiri mtu atakayeikomboa Tanzania kwa hali ya sasa ilipofikia bi Lowasa peke yake!!! Click to expand... Hapo kwenye red ,, umekosea au umedhamiria?
bokango said: Nionavyo mimi mheshimiwa JK atakapomaliza muda wake nafkiri mtu atakayeikomboa Tanzania kwa hali ya sasa ilipofikia bi Lowasa peke yake!!! Click to expand... Hapo kwenye red ,, umekosea au umedhamiria?
I iseesa JF-Expert Member Apr 3, 2012 943 213 Oct 18, 2012 #3 bokango said: Nionavyo mimi mheshimiwa JK atakapomaliza muda wake nafkiri mtu atakayeikomboa Tanzania kwa hali ya sasa ilipofikia bi Lowasa peke yake!!! Click to expand... Mkuu, Hapo kwenye red una maana REGINA au PAMELA?
bokango said: Nionavyo mimi mheshimiwa JK atakapomaliza muda wake nafkiri mtu atakayeikomboa Tanzania kwa hali ya sasa ilipofikia bi Lowasa peke yake!!! Click to expand... Mkuu, Hapo kwenye red una maana REGINA au PAMELA?
Access Denied JF-Expert Member Aug 10, 2012 655 209 Oct 18, 2012 #4 Ngoja nipite tu maana makosa ni mengi sana.
K Kitanga JF-Expert Member Oct 17, 2012 366 234 Oct 18, 2012 #6 Lowassa, sijui kama atakuja na jipya sana. Mambo yanaharibu nchi ni yale ambayo CCM imekuwa ikiyanyamazia.
Lowassa, sijui kama atakuja na jipya sana. Mambo yanaharibu nchi ni yale ambayo CCM imekuwa ikiyanyamazia.
K Kagalala JF-Expert Member Oct 31, 2010 2,403 1,132 Oct 18, 2012 #7 Mwizi hawezi kuwa na ubavu wa kukemea maovu kwani anajua watu wanajua madhambi yake. Katika hali kama hii huwezi kumkabidhi Lowassa nchi.
Mwizi hawezi kuwa na ubavu wa kukemea maovu kwani anajua watu wanajua madhambi yake. Katika hali kama hii huwezi kumkabidhi Lowassa nchi.
Joseph JF-Expert Member Aug 3, 2007 3,518 1,086 Oct 18, 2012 #8 bokango said: Nionavyo mimi mheshimiwa JK atakapomaliza muda wake nafkiri mtu atakayeikomboa Tanzania kwa hali ya sasa ilipofikia bi Lowasa peke yake!!! Click to expand... Umekula chakula mchana huu?Maana njaa wakati mwingine hupelekea watu kuongea vitu visivyoeleweka.
bokango said: Nionavyo mimi mheshimiwa JK atakapomaliza muda wake nafkiri mtu atakayeikomboa Tanzania kwa hali ya sasa ilipofikia bi Lowasa peke yake!!! Click to expand... Umekula chakula mchana huu?Maana njaa wakati mwingine hupelekea watu kuongea vitu visivyoeleweka.
G Getekwe Member Oct 17, 2012 10 0 Oct 18, 2012 #9 Raisi kichwa boga huyu, kwani mmesahau matokeo ya mtihani ya binti yake. like a father like a daughter.
Raisi kichwa boga huyu, kwani mmesahau matokeo ya mtihani ya binti yake. like a father like a daughter.
O Oremus Member Oct 17, 2012 46 9 Oct 18, 2012 #10 bokango said: Nionavyo mimi mheshimiwa JK atakapomaliza muda wake nafkiri mtu atakayeikomboa Tanzania kwa hali ya sasa ilipofikia bi Lowasa peke yake!!! Click to expand... Mimi naona tuachane tu na hii CCM,kwasababu E. L ni mmoja wapo walio Mpitisha huyu VASCO-DAGAMAkwenye vikao vyao vya NEC na sasa tunayaona matokeo yake.Kwahiyo sidhani kama E.L atakuwa na jipya tena kwa Nchi ilipo fikia sasa By Oremus
bokango said: Nionavyo mimi mheshimiwa JK atakapomaliza muda wake nafkiri mtu atakayeikomboa Tanzania kwa hali ya sasa ilipofikia bi Lowasa peke yake!!! Click to expand... Mimi naona tuachane tu na hii CCM,kwasababu E. L ni mmoja wapo walio Mpitisha huyu VASCO-DAGAMAkwenye vikao vyao vya NEC na sasa tunayaona matokeo yake.Kwahiyo sidhani kama E.L atakuwa na jipya tena kwa Nchi ilipo fikia sasa By Oremus