GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,571
- 108,918
Sasa nimeamini kuwa hapa duniani Watu hatufanani na hatuko sawa kwa mambo mengi tu na labda Mwenyezi Mungu ana makusudi yake yaliyotukuka. Yaani Mwenzako anapishana tu na Ndege huko angani kuelekea Algeria kupitia Dubai Wewe unakaza zako tu kuwahi Foleni za DalaDala za Dar es Salaam ukiwa unaitafuta Kawe kupitia Magomeni.
Yanga SC mbona ' mtatukoma ' miaka hii!!!!!!
Nawasilisha.
Yanga SC mbona ' mtatukoma ' miaka hii!!!!!!
Nawasilisha.