SILENT WHISPER
JF-Expert Member
- Jun 26, 2009
- 2,209
- 821
Wakenya hangaikeni na Alshabu tu msituetee mambo yenu ya kizembe huku.
Wakenya hangaikeni na Alshabu tu msituetee mambo yenu ya kizembe huku.
Mpaka mashetani CCM waondoke ndo tutaona maendeleo, lakini kuwakumbatia mashetani (CCM) ni kukumbatia laana ya umaskini. Nayachukia kuliko hata shetani mwenyewe.
Wakenya hangaikeni na Alshabu tu msituetee mambo yenu ya kizembe huku.
Pia ujenzi wa barabara za juu ni rahisi kuliko za chini, yaani ni kitu kinachowezekana kabisa, ukisha simamisha minguzo tu, unafunika juu, biashara kwisha! Nimeona kampala wanatengeneza ya kwenda air port kutokea mjini, yaani sijui wa tz tunanini jamani.
Wanahangaika na magaidi lakini bado wanasonga mbele, TZ hakuna majanga ya tsunami, vimbunga, magaidi tuna madini mpaka ambayo hayapatikani kwingine duniani, maziwa, mito, bahari, wanyama wa kila aina .... Kweli tumerogwa,na mchawi mwenyewe ni Magamba!