nadhani hapo ACT wapo sawa watu wenye ulembukeni ni hao wanao shawishika na kuhama chama walichokijenga muda mrefu na kukimbilia chama kipya kwa ahadi za kupata vyeo
nadhani hapo ACT wapo sawa watu wenye ulembukeni ni hao wanao shawishika na kuhama chama walichokijenga muda mrefu na kukimbilia chama kipya kwa ahadi za kupata vyeo
Duh! YAANI KIONGOZI WA WATU, MIONGONI MWA WATU, KWA AJILI YA WATU ANAKUBALI KUFANYIWA UPUUZI SAMPULI HII? KWAKWELI BADO KABISA TUNAHITAJI UKOMBOZI WA KIFIKRA!