Mao ze dong
JF-Expert Member
- Aug 28, 2012
- 941
- 1,006
vtbu lbrary c vpo ama? Shviji pia wrote abt ths..DS101 t means we wa UDSM apo,eb umizen vchwa bwana! Af umeambiwa DISCUSS, t means hapo eitha syds za majibu ni sawa,ts al abt arguments na kutetea points,so ucjali majbu yakipshana..ndo maana ya discusn io
Usimwamin marx anachochea vurugu!!!
vtbu lbrary c vpo ama? Shviji pia wrote abt ths..DS101 t means we wa UDSM apo,eb umizen vchwa bwana! Af umeambiwa DISCUSS, t means hapo eitha syds za majibu ni sawa,ts al abt arguments na kutetea points,so ucjali majbu yakipshana..ndo maana ya discusn io
Ubishi wenu ukowapi sasa ili tujue pa kuanzia?
Hawa ndiyo wasomi wetu...! Strange...!
Msalimie Dr. Benson Bana
Hebu google na jichimbie library! Usitake degree ya jF
We dogo acha uvivu wewe, we upewe individual assignment afu unataka sie tukafanyie. Najua umegoggle lakini ukubaatika kuona kitu, so umiza kichwa dogo
wakali hapa kuna swali tumebishana paka watu wakagombana wengine tukiishia kucheka,hii inaonyesha utofauti wa kimtizamo kwa wasomi muda mwingine hupelekea ugomvi.kwa kuwa kwa wanafunz wote mlioko vyuo vikuu mnasoma Ds naomba utoe mchango wako kutoka kwenye swali hili kuwa ni nini hasa kinaitajika na ikiwezekana uyataje.
Swali;
"marx believed that,ownership of the means of production determines the distribution of wealth,power and even ideas in the society.The power of the wealthy is derived not just from control of economy but from their control of political,educational and religious institution.Using tanzania as a case study,discuss the above contention."
nasubiri mitazamo yenu kutoka vyuo mbali mbali.