Dopaminergic
Member
- Oct 12, 2019
- 7
- 2
Amelalamika Sana amesema ametelekezwa anatamani zoezi liishe hata Leo huku yule wa CCM akila wali nyama ya kuku nikaona kwa sababu siasa sio uadui nilimpa tsh 20000 itakayomsaidia kwa chakula cha Leo na kesho amenishukuru sna akaniuliza kama nilichukua fomu ya kugombea nikamwambia kwa ss sna mpango wa kugombea nafasi yoyote japo nina ndoto ya kuja kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa awamu ya sita baada ya Dr MAGUFULI