wajanja night Vodacom

wajanja night Vodacom

best bestest

Member
Joined
Apr 23, 2013
Posts
12
Reaction score
1
kama kuna anaejua wajanja night imepatwa na nini,? maaana hii wiki sasa nikijiunga naambiwa salio halitoshi wakati limezidi mara 3 zaidi
 
Pia mm ilinambia hivyo nlipoweka Tsh500. nkatumia akili yakuzaliwa nkaweka 600 ikakubali. hata Jana pia Nmetumia.
 
Kujiunga 500 tu ila unatakiwa angalau uwe na mia 501
 
Back
Top Bottom