Unajua huyu kiongozi wa Sudan kaskazini analindwa na AU kwa sababu AU wamesema hawataki UN imchukulie hatua yoyote. Ila lile ambo limemtokea Ghadafi limenifunza jambo moja kuwa viongozi wengi wa Afrika ni vigeugeu. Ghadafi alitetewa na AU mwanzoni lakini sasa hivi ameonekana sio kitu. Kwa hiyo hata huyu Omar Bashir nahisi hatoweza ku-survive kwa muda mrefu. Na hii inasababishwa na Mataifa mengi ya Afrika kukosa umoja ulio wa dhati.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.