Da'Vinci
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 35,681
- 106,794
Salute..
Kwa wale vijana wa zamani, mnzikumbuka muvi za wakongwe wakali wa kung fu kutoka China. Enzi hizo miaka ya 70 Hongkong ndio kulikua Na solo LA filamu huku muvi karibia zote zikitengenezwa Na kampuni ya Shaw Brother.
Sasa bwana kulikia Na makundi mbali mbali ya waigizaji ila kundi nalozungumzia ni kundi LA akina David Chang lililotoa muvi kale kama Five masters of shaolin,Savage five,36 chamber of shaolin.
Twende kwenye mada..
Kwenye hilo kundi kuna dogo flani alikua anaitwa Alexander fu sheng, huyo jamaa alikua anafana kila kitu Na Jack chan kuanzia kuongea,vituko Na vichekesho vyao kupigana, sura hadi nywele. Bahati mbaya doho kafariki 1983 akiwa Na 28yr kwa Automobile accident. Waweza mcheki kwenye muvi kama 5 master of shaolin, savage 5, 36 chambers of shaolin: shaolin disciples. Etc huyu jamaa alinichanganya sana nilipokua Mdogo nikidhani in Jack.
Alexander
Jack.
Usisahau kua Jack alikula bata tumboni kwa mama ake muda wa miezi 12
Kwa wale vijana wa zamani, mnzikumbuka muvi za wakongwe wakali wa kung fu kutoka China. Enzi hizo miaka ya 70 Hongkong ndio kulikua Na solo LA filamu huku muvi karibia zote zikitengenezwa Na kampuni ya Shaw Brother.
Sasa bwana kulikia Na makundi mbali mbali ya waigizaji ila kundi nalozungumzia ni kundi LA akina David Chang lililotoa muvi kale kama Five masters of shaolin,Savage five,36 chamber of shaolin.
Twende kwenye mada..
Kwenye hilo kundi kuna dogo flani alikua anaitwa Alexander fu sheng, huyo jamaa alikua anafana kila kitu Na Jack chan kuanzia kuongea,vituko Na vichekesho vyao kupigana, sura hadi nywele. Bahati mbaya doho kafariki 1983 akiwa Na 28yr kwa Automobile accident. Waweza mcheki kwenye muvi kama 5 master of shaolin, savage 5, 36 chambers of shaolin: shaolin disciples. Etc huyu jamaa alinichanganya sana nilipokua Mdogo nikidhani in Jack.
Alexander
Jack.
Usisahau kua Jack alikula bata tumboni kwa mama ake muda wa miezi 12