Wahandisi tupo hapa?

Wahandisi tupo hapa?

hoperising

Member
Joined
May 28, 2017
Posts
20
Reaction score
34
Habari wanajamvii,
Naimani kubwa sana wengi wetu tupo vyema kiafya na mapambano ya kilasiku yanasogea mbele bilashaka,

Dhumuni kubwa la kuanzisha Uzi huu ni kuapriate uwepo wa forum hii kwani siku zote imekua ikiwasaidia wengii

Nimejaribu kuufungua Uzi huu kwa lengo moja kuu lakuwakutanisha wahandisi (engineers) wote walioko ndani ya jukwaa hili, APA naimanisha nikatika kada mbali mbalii (displines)

Lengo kubwa nikusaidia kutatua matatizo yanayojitokeza katika mazingira tunayoisha na yenye kuitaji msaada wakitaalumu,
Iwe nyumbani, kazini ama shuleni,

Unachopaswa kufanya jitambulishe kada yako kwa mfano irrigation and water resources engineer (kada yangu))

Na jina au unapopatikana pia kama unakampuni yako nivizurii ukatangaza Huduma zako....

Karibuni sana..
Nitafurahii kama muamko utakua mkubwa...
Naomba radhii kwayoyote ntakae mkwaza...
Karibuni tujifunze....

Wenu mhandisii wa umwagiliaji na rasilimali majii
Na mtaalamu wa GiS....
 
mkuu ni kweli gaduates ambao wamemaliza katika masomo ya uandisi huwa ma engineer baada ya kufanya mtihani wa board ya ma engineer?
 
Back
Top Bottom