Kumbe mna bei nafuu hivo...mbna hamsemi....watu wanaogopa gharama zenuUkienda mtaani unakuta mtu anajenga nyumba ya kigorofa kimoja, chini anasimamisha nguzo za zege alafu analaza tofali zote za ile sehemu ya chini. huku ni kuongeza gharama za ujenzi ambako kama wangekuwa wanatumia wataalamu bila shaka gharama zingepungua.
Unakuta mtu anajenga nyumba kwa kujitahidi kuweka choo cha public na masta ya nyumba karibu ili etu kupunguza gharama. gharama anazopunguza ni bomba za maji machafu ambazo gharama yake ni ndogo sana na akienda kuezeka anaezeka kama kanisa.
Jamii inatumia umbumbumbu katika ujenzi ambao wataalamu wakitumika gharama za ujenzi zitapungua na ubora utaongezeka
Hakina mgogoro mbona bei ndogo sanaNauza kiwanja 35*35 kipo Kiluvya Madukani. 2km to main road. Bei ni 4m, aliye serious ani PM
Wewe Mhandisi ili nikuamini unaweza wewe umefanya nini cha kihandisi ukiondoa ile project uliyopewa na instructor wako aka propesaKama kufungua biashara ya duka la dawa ni lazima udhaminiwe na dakitari inakuwaje shughuli za kihandisi zinafanyika bila kuhusisha wahandisi.
Kufungua gereji, ujenzi wa majengo ya gharama, sehemu za kuchomelea, n.k yote haya yanafanyika holela.
Kama madaktari wameweza hivi sisi wahandisi tunashindwa nini?
Nadhani tofauti kubwa ni madaktari wanacho chama strong kinachowatetea na sisi wahandisi tupo tupo tu.
Ni lazima jamii ijenge mazingira ya kujiri wataalamu inaowasomesha.
Hao walitaka kumuibia fundiMkuu beam 45(450mm) walikuwa wanajenga ghorofa moja(Residential) ndiyo standard ni kama kwenye tofali 6" za kulaza kwenye ghorofa zinacheza 15 mpaka 16 ndiyo unapiga beam au za kusimama kawaida kozi 10/11 kisha beam(linta) hizo ni standard,sasa engineer wa TBA akamwambia fundi la 7 beam kwenye mchoro imeandikwa 70 ,ndipi std 7 akakataa akamwambia beam 70 ukifunga box lake unaweza ikafika kwenye kitovu na nondo utaweka 8 ndipo akakubali waweke 45.
Professional yeye ni kwenye makaratasi ndiyo mtaalam ila field(Site) mweupe.
Wahandisi wana board inayowasimamia inaitwa ERB( engineer registration board) ili usajiliwe lazma wamethibitisha capability yako ya ufanyaji kazi pamoja na kaz ulizozifanya kwahio ili mtu aitwe mhandisi be lazma amethibitiswa na board na anaruhusiwa kufanya shuhuli za kiuhandisi . Ukihitimu tu chuo na degree yako bado hujawa mhandisi mpaka board itakapo kusajiliWewe Mhandisi ili nikuamini unaweza wewe umefanya nini cha kihandisi ukiondoa ile project uliyopewa na instructor wako aka propesa
Huitaji mwanasheria unachotakiwa ni kuhoji km amesajiliwa na board. Ili chochote kinachotokea board wanamwajibishaNa akija Mhandisi kwangu lazima na mwanasheria awepo, tusainishane mkataba wa kazi na ikiharibika uweze kulipa gharama zote
kwa yaliyotokea DSM ni msisitizo kuwa tunahitaji kuweka wataalamu katika ujenzi na wao wawajibike kama makosa yakitokea ingawa tunatambua kuwa makosa mengi yanafanyika kwa sababu ya kukosa uelewa na lengo la kuingiza wataalamu kama hitaji la kisheria ni kusaidia jamii kupunguza madhara, kupunguza gharama na kuongeza ubora.Kama kufungua biashara ya duka la dawa ni lazima udhaminiwe na dakitari inakuwaje shughuli za kihandisi zinafanyika bila kuhusisha wahandisi.
Kufungua gereji, ujenzi wa majengo ya gharama, sehemu za kuchomelea, n.k yote haya yanafanyika holela.
Kama madaktari wameweza hivi sisi wahandisi tunashindwa nini?
Nadhani tofauti kubwa ni madaktari wanacho chama strong kinachowatetea na sisi wahandisi tupo tupo tu.
Ni lazima jamii ijenge mazingira ya kujiri wataalamu inaowasomesha.
Wazo zuri sana...lakini ushauri wang kwa wahandisi waweke gharama ambazo ni nafuu sana ili kuweka mazingira rafiki kwa hawa clients.Kama kufungua biashara ya duka la dawa ni lazima udhaminiwe na dakitari inakuwaje shughuli za kihandisi zinafanyika bila kuhusisha wahandisi.
Kufungua gereji, ujenzi wa majengo ya gharama, sehemu za kuchomelea, n.k yote haya yanafanyika holela.
Kama madaktari wameweza hivi sisi wahandisi tunashindwa nini?
Nadhani tofauti kubwa ni madaktari wanacho chama strong kinachowatetea na sisi wahandisi tupo tupo tu.
Ni lazima jamii ijenge mazingira ya kujiri wataalamu inaowasomesha.