The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,320
- 117,612
Uchaguzi unaisha hata hivyo kuna chama kile ambacho hakina itikadi
bila kujali wewe ni CCM au UKAWA kuna chama ambacho mgombea
tukimtazama kwa macho tu...tunakubaliana 'anafaa na anafaa zaidi'
Sasa naomba tu share picha humu za wagombea ambao wanafaa na wanafaa zaidi
hata kama hatutawachagua kisiasa lakini tunakubali 'wanafaa'
Kaboom platozoom OLESAIDIMU Mentor Watu8 Nyani Ngabu na wengine wote
bila kujali wewe ni CCM au UKAWA kuna chama ambacho mgombea
tukimtazama kwa macho tu...tunakubaliana 'anafaa na anafaa zaidi'
Sasa naomba tu share picha humu za wagombea ambao wanafaa na wanafaa zaidi
hata kama hatutawachagua kisiasa lakini tunakubali 'wanafaa'
Kaboom platozoom OLESAIDIMU Mentor Watu8 Nyani Ngabu na wengine wote
Last edited by a moderator: