Waganga washindana na polisi

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Feb 3, 2009
42,331
33,142



Baadhi ya watu wameanza kugeukia uganga kama njia moja ya kukabiliana na wizi na uhalifu wa aina nyingine...kufuatia matukio katika maeneo tofauti nchini imedhihirika kwamba watu wengi wanawaamini waganga kuliko polisi. Katika kisa cha hivi punde , wakaazi wa kijiji cha Chepkutung, jimbo la Kericho walishuhudia tukio la kushangaza pale mtu mmoja aliyetambuliwa na mganga kwamba alikuwa mwizi wa ngombe alipoanza kula nyasi.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…