Waganga washindana na polisi

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Feb 3, 2009
42,268
33,040




Baadhi ya watu wameanza kugeukia uganga kama njia moja ya kukabiliana na wizi na uhalifu wa aina nyingine...kufuatia matukio katika maeneo tofauti nchini imedhihirika kwamba watu wengi wanawaamini waganga kuliko polisi. Katika kisa cha hivi punde , wakaazi wa kijiji cha Chepkutung, jimbo la Kericho walishuhudia tukio la kushangaza pale mtu mmoja aliyetambuliwa na mganga kwamba alikuwa mwizi wa ngombe alipoanza kula nyasi.
 
Last edited by a moderator:
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom