Divele Dikalame
Member
- May 4, 2010
- 77
- 12
BAADA ya kupigwa chini kwa ufisadi mkubwa walioufanya TPA aliyekuwa mkurugenzi msaidizi bwana Ahmad Koshuma hajakata tamaa anahaha kila kona kuhakikisha anavuruga mema yote yanayofanywa na waziri Mwakyembe kupitia menejimenti mpya ya bandari, katika kampeni yake hiyo analitumia gazeti la Tanzania Daima kupitia waandishi bwana Semtawa na Malela ambao ---------- magari na kila stori wanayoandika kuchafua TPA wanalipwa milioni moja tena Koshuma anajigamba eti katika vita yake hii na menejimenti ya TPA anapata sapoti toka kwa afisa mwandamizi wa ikulu anayefahamika kwa jina la mzee Ayyo. Hivi Koshuma na vibaraka wako hawa mnaitakia nini nchi hii kwa hizi fitna zenu.